- 179 viewsMchambuzi wa mambo ya siasa nchini Tanzania aeleza kuendelea kuibuliwa kwa ubadhirifu kila mara taarifa za Mkaguzi wa Serikali na Takukuru zinapotolewa ni ishara kuwa hatua stahiki hazichukuliwi kwa wanaohusika. Ungana na mwandishi wetu wa Dar es Salaam akikuletea baadhi ya mapendekezo yanayoweza kurekebisha tatizo hili na kulikomesha. Endelea kusikiliza... #mchambuzi #siasa #tanzania #ubadhirifu #mkaguziwaserikali #takukuru #voa #voaswahili #dunianileo - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Je, kwa nini ubadhirifu haujaweza kudhibitiwa Tanzania?
- 29 Apr 2024 - African leaders on Monday called for rich countries to commit record contributions to a low-interest World Bank facility for developing nations that they rely on to help fund their development and combat climate change.
- 29 Apr 2024 - Nairobi Governor Johnson Sakaja now says that his administration will give priority to residents of Nairobi City Council (Kanjo) estates when the affordable houses are ready.
- 29 Apr 2024 - Embattled Bomas of Kenya CEO Peter Gitaa has pleaded not guilty to eight counts of failure to comply with procurement laws.
- 29 Apr 2024 - Motorists plying the Mai Mahiu-Suswa/Narok highway and the Mai Mahiu - Naivasha road have been advised to look for alternative routes after debris was swept into the roads following Sunday night's heavy downpour.
- 29 Apr 2024 - Mathare Member of Parliament (MP) Anthony Oluoch urged President William Ruto to address the flood situation in the country and declare it a national disaster.
- 29 Apr 2024 - South Africa marked 30 years since the end of apartheid and the birth of its democracy with a ceremony in the capital Saturday that included a 21-gun salute and the waving of the nation's multicolored flag.
- 29 Apr 2024 - Twenty people have been confirmed dead after heavy flashfloods wiped out several homes in Kamuchiri Village Mai Mahiu, Nakuru County.
- 29 Apr 2024 - Twenty people have been confirmed dead after heavy flashfloods wiped out several homes in Kamuchiri Village Mai Mahiu, Nakuru County.
- 29 Apr 2024 - After migrating to the UK, she has become an active participant in city politics serving in the City’s council.
- 29 Apr 2024 - The schools were set to open today Monday, April 29, but that has been postponed to Monday, May 6, due to flooding as a result of the rains.