- 3,957 views
Maafisa wa polisi kutoka eneo la Manga, eneo bunge la Borabu katika kaunti ya Nyamira wamewatia mbaroni walimu 5 kutoka shule ya msingi ya Riang'ombe. kati ya waliotiwa mbaroni ni pamoja na mwalimu mkuu na naibu mwalimu mkuu. hii ni baada ya mwanafunzi wa gredi ya 4 kuchapwa na kuumizwa vibaya na mwalimu katika shule hiyo. mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka 9 anaripotiwa kwenda kwa mwalimu mmoja kuripoti kuwa shati lake lilikuwa limeibiwa, kabla ya mwalimu huyo kuwaamuru wanafunzi wa darasa la nane kumshika mtoto huyo, na kumpiga viboko 107 vilivyomwacha na majeraha mabaya makalioni.Mwalimu huyo Jackson Marucha anaripotiwa kuwa mafichoni kwani tangu Alhamisi hajafika shuleni.
Walimu watano wanazuiliwa na polisi Nyamira baada ya kumcharaza mwanafunzi viboko 107
- 13 May 2025 - Agriculture CS Mutahi Kagwe has clarified that no sugar factory in Kenya has been sold, stating that the government has only leased them out through a transparent process that received full Parliamentary approval.
- 13 May 2025 - In a bid to recover billions of shillings in unpaid land rates, Nairobi County on Tuesday launched a sweeping clampdown on buildings in the Central Business District (CBD), marking the beginning of a far-reaching campaign targeting landowners who have…
- 13 May 2025 - The Employment and Labour Relations Court in Kakamega has given a green light to a case filed by 17 doctors citing their unpaid salaries and alleged unfair dismissals by the county government.
- 13 May 2025 - Kirinyaga Woman Representative Njeri Maina has been honoured with the prestigious Voice of Reason Award at the Thamani Awards ceremony held at the KCB Leadership Centre in Nairobi.
- 13 May 2025 - The latest report highlights a paradigm shift from the traditional income-generating investments to value-driven luxuries.
- 13 May 2025 - The Senators claim that some vendors are promoting fraud.
- 13 May 2025 - The whistleblower made explosive allegations on Tuesday.
- 13 May 2025 - A health crisis is looming in the country after the Kenya National Union of Nurses (KNUN) on Tuesday threatened to join a doctors' strike over unmet promises.
- 13 May 2025 - Ruto had told the Finnish President that all victims had been rescued on Monday.
- 13 May 2025 - A letter has emerged detailing Siaya governor's "respectful" requests to the Head of State.