- 3,957 views
Maafisa wa polisi kutoka eneo la Manga, eneo bunge la Borabu katika kaunti ya Nyamira wamewatia mbaroni walimu 5 kutoka shule ya msingi ya Riang'ombe. kati ya waliotiwa mbaroni ni pamoja na mwalimu mkuu na naibu mwalimu mkuu. hii ni baada ya mwanafunzi wa gredi ya 4 kuchapwa na kuumizwa vibaya na mwalimu katika shule hiyo. mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka 9 anaripotiwa kwenda kwa mwalimu mmoja kuripoti kuwa shati lake lilikuwa limeibiwa, kabla ya mwalimu huyo kuwaamuru wanafunzi wa darasa la nane kumshika mtoto huyo, na kumpiga viboko 107 vilivyomwacha na majeraha mabaya makalioni.Mwalimu huyo Jackson Marucha anaripotiwa kuwa mafichoni kwani tangu Alhamisi hajafika shuleni.
Walimu watano wanazuiliwa na polisi Nyamira baada ya kumcharaza mwanafunzi viboko 107
- 3 May 2024 - In a statement on Thursday, the National Museums of Kenya said Kenyans needed not panic as all the exhibits were secure.
- 3 May 2024 - President William Ruto is set to address the nation today at 1 pm. The announcement was made by State House spokesman Hussein Mohammed on X after a second cabinet meeting this week to deliberate on extra measures to mitigate the devastating effects of…
- 3 May 2024 - Detectives in Garissa have been granted 14 days to detain a suspected paedophile accused of molesting six children aged between 5 to 9 years.
- 3 May 2024 - 51 bodies may never be found, families fear
- 3 May 2024 - Man convicted while mentally ill released after 34 years in prison
- 3 May 2024 - The High Court has directed the government and the striking doctors to sign a return-to-work formula to be adopted by the court on Monday, May 6, 2024.
- 3 May 2024 - City estates to experience dry taps as floods destroy water pipes
- 3 May 2024 - The two-day tournament tees off on today and ends on Saturday at the same venue.
- 3 May 2024 - Reading Time: 3 minutes Co-operative societies must explore joint ventures and strategic alliances to drive business growth, according to discussions at a national cooperative […]
- 3 May 2024 - Fatumas rise through the military ranks has been celebrated as a milestone in advancing gender equality within the armed forces.