- 937 views
Wakenya 409 wamesafirishwa kutoka nchini Sudan kufikia sasa huku serikali ikiendelea na mipango ya kuwarejesha nyumbani Wakenya waliosalia nchini humo. Waziri wa Maswala ya Kigeni Dkt. Alfred Mutua amesema hayo huku akiongezea kuwa Kenya inahusika pakubwa katika juhudi za kurejesha amani nchini humo. Aidha aliongeza kuwa Rais William Ruto aliongoza mkutano uliohudhuriwa na waakilishi wa Umoja wa matifa kuhusu jinsi ya kupeleka usaidizi nchini Sudan.
Wakenya 409 wasafirishwa kutoka Sudan huku serikali ikiendelea na mipango ya kuwarejesha nyumbani
- 15 May 2024 - President William Ruto has asked the Kenya Defence Forces (KDF) to help the country tackle the climate change phenomenon.
- » ‘Wrong direction if you want to be president!’ DP Gachagua criticised over ‘one-man-one-shilling’ proposal15 May 2024 - Tana River Senator Danson Mungatana has criticised Deputy President Rigathi Gachagua over his comments on pushing for a ‘one-man-one-shilling’ county revenue-sharing formula.
- 15 May 2024 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has recovered several pieces of public land from grabbers within Eldoret town valued at Ksh.3.2 billion.
- 15 May 2024 - Wiper Leader Kalonzo Musyoka has urged MPs allied to the Azimio opposition coalition to reject the proposed Finance Bill 2024 when it is finally tabled in parliament, arguing that the proposed law is only meant to hurt Kenyans more.
- 15 May 2024 - The case has been filed at Eldoret High Court.
- 15 May 2024 - Whitman said a state visit is regarded as the highest honour any Head of State can get in the US.
- 15 May 2024 - Three people are still unaccounted for.
- » Elite athletes Kipchoge, Kipruto embroiled in Sh100m property row with their colleague and his wife15 May 2024 - The tussle involves former runner Daniel Komen and his wife Joyce Komen.
- 15 May 2024 - A police unit has also been formed towards the same cause.
- 15 May 2024 - He said the oath of allegiance they have taken initiates a sacred trust on behalf of the people of Kenya.