- 333 viewsWaziri wa Masuala ya Baharini Kenya Salim Mvurya asema nchi yake imeamua kuifufua Kenya Shipping Line liwe ni shirika ambalo litaweza kuendeleza shughuli za biashara ya usafirishaji wa majini. Pia endelea kusikiliza Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania Abdi Mkeyenga kuhusu agenda ya mkutano wa Muungano wa Mamlaka za Uchukuzi Baharini Barani Afrika uliofanyika nchini Kenya. #mtaalam #uchumi #afrikakusini #zamachoncochonco #nchizaafrika #mamlakazauchukuzibaharini #shirikisholakimataifalamasualayabahari #voa #voaswahili #dunianileo #ulaya #asia- - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Kenya yaamua kulifufua shirika la usafirishaji wa majini - Kenya Shipping Line
- 8 Jul 2025 - The government has launched a fresh crackdown targeting foreign nationals from Burundi, Rwanda, the Democratic Republic of Congo (DRC), and Uganda’s Wagisu community residing in West Pokot County, over suspected involvement in cannibalism and human organ…
- 8 Jul 2025 - 36 suspects were arraigned on Tuesday at the Eldoret law court with charges of being in possession of weapons in public contrary to section 88 of the penal code.
- 8 Jul 2025 - The Cabinet Secretary for Health, Aden Duale, has vowed to end the practice of bed-sharing among patients in public health facilities to promote quality healthcare across the country.
- 8 Jul 2025 - The Parliament in Kenya is moving to formally integrate the National Government Constituencies Development Fund (NG-CDF), the Senate Oversight Fund, and the National Government Affirmative Action Fund (NGAAF) into the Constitution through the…
- 8 Jul 2025 - Duale expressed concern over reports of multiple patients sharing a single bed in public hospitals
- 8 Jul 2025 - The requirement has been in force for close to two decades.
- 8 Jul 2025 - “We have not achieved what Saba Saba intended,” Raila stated. “The violation of human rights is still a challenge in the country. The economy has not performed as we expected. Saba Saba was meant to bring people together for a common cause” he asserted.
- 8 Jul 2025 - Families in Kiambu are in despair after six people, including a 12-year-old girl, were killed by police during Saba Saba Day protests on Monday, June 2025.
- 8 Jul 2025 - CoG has already opened registration for interested stakeholders.
- 8 Jul 2025 - Narok County Senator Ledama Olekina has strongly criticized former Deputy President Rigathi Gachagua, insisting he should not be