- 19 views
Hisia mseto zimeibuka baada ya kubainika kuwa huenda wanafunzi wa gredi ya nane wakakosa ufadhili kutoka kwa serikali kwa kuwa hawakuzingatiwa katika bajeti ya mwaka ujao wa kifedha. Vile vile katibu mkuu wa elimu Belio Kipsang alieleza kuwa wanafunzi takriban milioni moja wa shule za upili za kutwa wanaopata masomo ya bure, huenda wakakosa ufadhili wa serikali kufuatia upungufu wa shilingi bilioni 22.2 katika bajeti ijayo. Hata hivyo waziri wa elimu Ezekiel Machogu amewahakikishia wazazi kuwa liwe liwalo watahakikisha kuwa ufadhili unawasilishwa kama ilivyo katika sheria.
Masomo ya gredi ya saba na ya nane hayajatengewa bajeti ya kutosha
- - dar michezo gor ››
- 19 May 2024 - The Democratic Republic of Congo's (DRC) armed forces repelled an attempted coup d'etat involving Congolese and foreign fighters on Sunday morning, a DRC army spokesman said in a televised address.
- 19 May 2024 - A 12-year-old boy was severely injured after being attacked by a buffalo while herding in Ramada village, Tana River County on Sunday.
- 19 May 2024 - A helicopter in the convoy of Iran's President Ebrahim Raisi was involved in "an accident" on Sunday, state media reported, without specifying if the president was on board.
- » 'We won't allow Gachagua to be mistreated,' Governor Kahiga says amid Kenya Kwanza fallout rumours19 May 2024 - Nyeri Governor Edward Mutahi Kahiga has hinted at a possible rift within the ruling Kenya Kwanza alliance.
- 19 May 2024 - “In fact, we can reject the entire budget if necessary.”
- 19 May 2024 - "We sincerely apologise to the customers who have been inconvenienced."
- 19 May 2024 - Search and rescue team were headed to the remote mountain area, state media in the Islamic republic reported.
- 19 May 2024 - Union says justice must prevail for the family of the slain teacher
- 19 May 2024 - The Deputy President had weeks ago touted the one-man one-vote one-shilling approach as a better option for sharing revenue.
- 19 May 2024 - It reduced greenhouse gas emissions by 28%.