- 241 views
Waziri wa Usalama Professor Kithure Kindiki amesema kuwa serikali itajenga shule tano maalum chini ya mpango wa amani. Shule hizo za kijamii za Dira, Todo, Tuwit, Lomuke, na Chepchoren zitahakikisha wanafunzi kutoka kaunti za Elgeyo Marakwet, Baringo na Pokot Magharibi wanapata mafunzo ili waweze kubadili vizazi vijavyo, na kueneza amani na utangamano katika kaunti hizo ambazo zinashughudia mapigano ya mara kwa mara kutokana na wizi wa mifugo. Waziri wa usalama amesema utangamano wa wanafunzi kutoka jamii hizo utapunguza uhalifu na uhasama wa kijamii.
Serikali yajenga shule tano maalum mpakani wa kaunti za Elgeyo Marakwet, Baringo na Pokot
- 3 Aug 2025 - According to the Directorate of Criminal Investigations (DCI), Mwaita was apprehended in Kilimani on Sunday and is facing a number of charges, including conspiracy to commit a felony, creating a document without authority, abuse of office, and providing…
- 3 Aug 2025 - Speaking during an economic empowerment forum in Nakuru East Constituency on Sunday, Kindiki said the highway expansion will significantly ease the movement of people and goods, reduce road accidents, and enhance regional trade.
- 3 Aug 2025 - The seat was left vacant following the death of Senator William Cheptumo early this year.
- 3 Aug 2025 - Ruku said the move will unite the country, boost the team's morale and show patriotism as Kenyans.
- 3 Aug 2025 - Kakamega Senator Boni Khalwale has expressed disappointment over the closure of St Mary’s Mission Hospital in Mumias.
- 3 Aug 2025 - “Since I am the SG of the party, I will read all the resolutions from ODM, even if they insult me."
- 3 Aug 2025 - The former lawmaker is facing several charges.
- 3 Aug 2025 - Gunmen kidnapped more than 50 people in northwest Nigeria in a mass abduction, according to a private conflict monitoring report created for the United Nations and seen by AFP on Sunday.
- 3 Aug 2025 - Ruto was seen interacting and hugging the players, sharing the golden moment with them.
- 3 Aug 2025 - Under Ruto's incentive structure, each player will receive Sh1 million for every match won.