- 21 views
Kamati ya bunge kuhusu maswala ya utangazaji na maktaba,imetoa wito kwa vijana walio na vipaji vya kuimba,kutumia mpango wa Studio Mashinani kukuza vipaji hivyo. Studio Mashinani ni sehemu ya mpango wa kuzindua nafasi za ajiri kupitia mfumo wa dijitali chini ya wizara ya habari,mawasiliano,teknolojia na uchumi wa dijitali,ambapo wasanii wenye vipaji wataweza kurekodi nyimbo zao bila malipo.Wabunge wa kamati hiyo walisema hayo baada ya kuzuru mpango huo wa Studio Mashinani katika afisi za shirika la utangazaji nchini la KBC huko Kisumu.Wycliffe Oketch anatusimuliwa zaidi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channell: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #dirayamagwiji #studiomashinani
Wasanii wahimizwa kushiriki mpango wa Studio Mashinani
- - Duniani Leo ››
- 17 May 2024 - China's Xi Jinping and Russia's Vladimir Putin on Thursday pledged a "new era" of partnership between the two most powerful rivals of the United States which they cast as an aggressive Cold War hegemon that was sowing chaos across the world.
- 17 May 2024 - Kenya, Uganda to extend oil pipeline from Eldoret to Kampala
- 17 May 2024 - A Nigerian rights group has launched a petition to stop plans by religious leaders and a state lawmaker to push 100 girls and young women into marriage in a mass ceremony next week, which have sparked outrage in the West African nation.
- 17 May 2024 - UN report shows wildlife trafficking still rampant
- 17 May 2024 - Compensation row derails Devki plans to build cement factory in Kitui
- 17 May 2024 - UDA steps up bid to solidify support in Homa Bay
- 17 May 2024 - Man charged with defiling minor released on Sh100,000 bond
- 17 May 2024 - Reading Time: 3 minutes A Senate c*mmittee has taken Garissa Governor Nathif Jama to task on why his administration has engaged an alternative medical […]
- 17 May 2024 - Uproar as Ruto's Kakamega flagship projects miss in budget estimates
- 17 May 2024 - Reading Time: 2 minutes It wi*l be difficult to sell an affordable housing unit to another buyer once the purchase has been done should […]