- 25 views
Mama wa taifa Rachael Ruto amezindua mradi wa upanzi wa miti kwa jina, Mama doing good. Mradi huo unaotekelezwa kwa ushirikiano na shirika la Nature conservancy na hazina ya maji ya Eldoret-Iten,utahusisha upanzi wa miche milioni moja huko Elgeyo Marakwet. Mama wa taifa alisema mradi huo utaimarisha utoaji wa huduma za maji nchini pamoja na kutimiza lengo la serikali la kupanda miti bilioni moja nchini katika kipindi cha miaka kumi ijayo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channell: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #treeplanting #environmentalconservation
Mama wa taifa aongoza upanzi wa miti milioni moja
- - Duniani Leo ››
- 17 May 2024 - As women increasingly assert their presence behind the camera, data reveals they now make up 40 per cent of those directly employed in Kenya’s film industry.
- 17 May 2024 - China's Xi Jinping and Russia's Vladimir Putin on Thursday pledged a "new era" of partnership between the two most powerful rivals of the United States which they cast as an aggressive Cold War hegemon that was sowing chaos across the world.
- 17 May 2024 - Four universities get zero allocation for their thousands of students.
- 17 May 2024 - Apart from Kenya, Somalia and Djibouti also have candidates for the seat.
- 17 May 2024 - CA says internet disruption to continue on huge backlog
- 17 May 2024 - Only accredited delegates will attend Limuru III
- 17 May 2024 - Judges lock horns over JSC representative position as Justice Majanja exits
- 17 May 2024 - Garrett Foster, one of the protesters, approached the vehicle carrying a rifle. Perry shot him dead.
- 17 May 2024 - Residents petition Sakaja over illegal development in Nairobi
- 17 May 2024 - Man charged with defiling minor released on Sh100,000 bond