- 199 views
Tume ya kupambana na ufisadi nchini imedai kuwa asilimia 80 ya visa vya ufisadi nchini vinachangiwa na maafisa wa utoaji zabuni na ununuzi wa bidhaa serikalini. Akizungumza kwenye kongamano la siku tano linalowahusisha maafisa wa utoaji zabuni wa serikali kuu na za kaunti, naibu afisa mkuu wa tume ya EACC Abdul Mohamud amepinga pendekezo la kufanyiwa marekebisho mswada kuhusu vita dhidi ya ufisadi akisema hatua hiyo italemaza juhudi za kukabiliana na ufisadi nchini. Aidha tume hiyo inachunguza utoaji wa zabuni ya kemsa pamoja na serikali ya kaunti ya siaya ambapo zaidi ya shilingi bilioni moja zinadaiwa kufujwa.
Tume ya EACC yaasema ufisadi umekithiri kwenye utoaji zabuni
- - Duniani Leo ››
- 13 Aug 2025 - Prime Minister Donald Tusk said on Tuesday that Poland will expel 63 Ukrainians and Belarusians for causing trouble at a rap concert.
- 13 Aug 2025 - Ford is recalling more than 103,000 F-150 pickup trucks in the U.S. over axle bolts that may break and result in vehicle rollaways or a loss of drive power, the U.S. National Highway Traffic Safety Administration said on Tuesday.
- 13 Aug 2025 - The National Assembly’s Defence, Intelligence and Foreign Relations Committee has questioned the government’s laxity in pursuing suspected militia from Ethiopia linked to the disappearance and killing of more than 40 people in Todonyang, Turkana County.
- 13 Aug 2025 - All eyes on Homa Bay as Devolution Conference starts on high note
- 13 Aug 2025 - Counties defy AG directive, splash millions on legal firms as cases rise
- 13 Aug 2025 - How Sh360.5m was siphoned from Afya Sacco
- 13 Aug 2025 - UK tycoon Veevers to be buried after 11 years
- 13 Aug 2025 - Winning Harambee Stars has reminded Kenyans how to smile
- 13 Aug 2025 - Ruto is not empowering youth; he is manipulating them with fake mercy
- 13 Aug 2025 - State now abandons plans for Sh468b Nairobi-Mombasa expressway