- 1,212 views
Maafisa wa usalama katika eneo la Mlolongo, Kaunti ya Machakos wanamzuilia mwanamke mmoja aliyekiri kuhusika na biashara haramu ya kuwaiba na kuwauza watoto. Miriam Wesonga alikamatwa mapema leo, miezi mitatu baada ya kuhusishwa na wizi wa mtoto wa miaka miwili unusu. Mtoto huyo alipatikana eneo la Matungu kaunti ya Kakamega, akikubali kushirikiana na wenzake kwenye biashara hiyo.
Polisi wachunguza ulanguzi wa watoto Mlolongo
- 3 Aug 2025 - This group is gathering steam, educating the masses by disseminating pertinent information
- 3 Aug 2025 - Harambee Stars ready to roar against DR Congo in CHAN opener
- 3 Aug 2025 - Beadwork empowers northern Kenyan women with steady income, reduces household conflict, and funds conservation.
- 3 Aug 2025 - Elisha Asumo was charged in absentia as he awaits a decision from Moroccan courts on whether to extradite him to the US.
- 3 Aug 2025 - While the State House tour appeared leisurely, political observers argue it was loaded with symbolism.
- 3 Aug 2025 - The party has had to balance between being simultaneously in government and opposition
- 3 Aug 2025 - It's emerging that Sh65 billion in contractor payments has been released already
- 3 Aug 2025 - Dream of liberal left-of-centre movement in jeopardy due to party split over government truce
- 3 Aug 2025 - Constitutional timelines for exercise lapsed in March 2024 due to absence of commissioners
- 3 Aug 2025 - 'Oops government?' State's habit of speaking first, clarifying later