- 118 views
Unyanyapaa dhidi ya wajane ni mojawapo za changamoto zinazosababisha wengi wao kuishi katika mazingira magumu yanayosababisha umasikini kukithiri miongoni mwao. Mashirika tofauti katika kaunti ya TaitaTaveta sasa yanatafuta mbinu za kuwainua wajane siku hii ambapo wajane wanatambuliwa ulimwenguni.Kulingana na sensa ya mwaka 2019, kuna wajane zaidi ya wajane milioni moja nchini, eneo la pwani likiwa na wajane elfu 88,833 huku 75,000 kati yao wakiishi katika hali ya uchochole. Keith simiyu anaungana nasi mubashara kutoka voi kwenye maadhimisho ya siku ya wajane.
Siku ya wajane yaadhimishwa eneo la Tana River
- - Duniani Leo ››
- 11 Aug 2025 - President Donald Trump said Sunday that homeless people must be moved "far" from Washington, after days of musing about taking federal control of the US capital where he has falsely suggested crime is rising.
- 11 Aug 2025 - A man has survived clinging to the outside of an Austrian high-speed train, Austria's state railway said Sunday, reportedly after it left whilst he was having a cigarette break.
- - Ugandan soft ground where men and women wrestle in mud
- 11 Aug 2025 - A heavy cloud hangs over Kotombo village in Nyakach, Kisumu County. Grief-struck residents walk from house to house, condoling with those in mourning, their faces showing the agony of the calamity that befell two clans in this village.
- 11 Aug 2025 - Nairobi Hospital in battle for survival as creditor in court seeking liquidation
- 11 Aug 2025 - Chirchir urges MPs to back proposed road tolling policy
- 11 Aug 2025 - Gachagua, Ruto and Uhuru face crucial Mt Kenya by-election test
- 11 Aug 2025 - Wild cheers, wild bites: Football meets game meat in Dar es Salaam
- 11 Aug 2025 - Ostrich leaves vets eating dust in the savannah
- 11 Aug 2025 - National Police Service to hire after 3-year freeze