- 202 views
Siku moja baada ya Wanachama wa Kundi la Oldonyonyokie, huko magadi kaunti ya kajiado kulalamikia njama ya ardhi yao kunyakuliwa na watu ambao si wanachama wa kundi hilo la malisho, Serikali ya kaunti ya Kajiado kwa ushirikiano na bodi ya ardhi kaunti hiyo imepiga marufuku shughuli zote kwenye ardhi hiyo hadi tarehe 19 mwezi ujao wakati ambapo mkutanao wa wanachama utaandaliwa.Akitoa Tangazo hilo baada ya mkutano na bodi hiyo, Gavana wa Kajiado Joseph Ole Lenku anasema hatua hiyo itatuliza hofu iliyokuwepo na kutoa nafasi kwa wanachama kuamua njia ya kugawanya ardhi hiyo.
Serikali ya kaunti ya Kajiado yapiga marufuku shughuli zote kwenye ardhi ya Oldonyonyokie
- - Duniani Leo ››
- 11 Aug 2025 - President Donald Trump said Sunday that homeless people must be moved "far" from Washington, after days of musing about taking federal control of the US capital where he has falsely suggested crime is rising.
- 11 Aug 2025 - A man has survived clinging to the outside of an Austrian high-speed train, Austria's state railway said Sunday, reportedly after it left whilst he was having a cigarette break.
- - Ugandan soft ground where men and women wrestle in mud
- 11 Aug 2025 - A heavy cloud hangs over Kotombo village in Nyakach, Kisumu County. Grief-struck residents walk from house to house, condoling with those in mourning, their faces showing the agony of the calamity that befell two clans in this village.
- 11 Aug 2025 - Nairobi Hospital in battle for survival as creditor in court seeking liquidation
- 11 Aug 2025 - Chirchir urges MPs to back proposed road tolling policy
- 11 Aug 2025 - Gachagua, Ruto and Uhuru face crucial Mt Kenya by-election test
- 11 Aug 2025 - Wild cheers, wild bites: Football meets game meat in Dar es Salaam
- 11 Aug 2025 - Ostrich leaves vets eating dust in the savannah
- 11 Aug 2025 - National Police Service to hire after 3-year freeze