- 176 views
Usalama umeimarishwa kaunti ya Lamu, baada ya shambulizi la punde kuwaua watu watano katika kijiji cha Salama-Kibaoni wadi ya Mkunumbi. Gavana wa Lamu Issa Timamy na maafisa wakuu wa usalama wanazuru kijiji hiki kutathmini hali na kuwasaidia waathiriwa, ambao nyumba zao ziliteketezwa na magaidi walioshambulia kijiji hicho. Wanamgambo walivamia kijiji hiki usiku wa kuamkia jumapili, huku hali ikiendelea kusalia tete katika eneo hili. Shambulizi hili ni la pili kushuhudiwa Lamu katika muda wa chini ya juma moja.
Usalama waimarishwa katika kaunti ya Lamu baada ya shambulizi la punde
- - LIVE|| News Now ››
- 12 May 2024 - Prince Harry spoke in Nigeria on Saturday of the tragic loss of the "brave souls" in the country's military who had lost their lives in conflicts, and said he felt "goosebumps" after seeing plans for a new centre to rehabilitate injured troops.
- 12 May 2024 - Kenya Power has issued a notice informing Kenyans of a scheduled blackout that wi*l affect two counties today. In a statement shared on Sat**day, the utility c*mpany said the scheduled blackout which is part of routine maintenance wi*l affect Kajiado…
- 12 May 2024 - Foes become friends as floods bring people together in Jiji Ndogo
- 12 May 2024 - Ruto would have been the second African leader to address Congress after Ellen Johnson Sirleaf.
- 12 May 2024 - Veronica Mwende's tale of perseverance, resilience, and strength to overcome societal stigma and systemic obstacles
- 12 May 2024 - Those pushing for the summit are mainly allied with the opposition Azimio la Umoja One Kenya alliance.
- 12 May 2024 - Government must advance nurses' rights and lessen their strain
- 12 May 2024 - Kill or keep our parties? The dilemma facing Mudavadi and Wetang'ula
- 12 May 2024 - Fake certificates shame our nation
- 12 May 2024 - Death has a way of bringing to life conversations of culture, wrapped in political garb.