- 124 views
Serikali sasa inanuia kuongeza ada ya hazina ya bima ya matibabu kwa wafanyakazi baada ya Rais William Ruto kutoa mapendekezo mapya. Pendekezo ni kwa Wafanyakazi kulipa ada ya asimilia 2.7 ya mshahara huku wakenya wasio na ajira wakitarajiwa kulipa shilingi elfu moja kwa mwezi. Kulingana na rais Ruto, malipo hayo yatasaidia kulainisha malipo katika bima ya afya, na kufanikisha ajenda ya afya bora kwa wote. Hata hivyo, tayari hatua hiyo imeibua hisia kinzani kutoka kwa wakenya
Serikali yapendekeza kuongeza ada za NHIF
- - Duniani Leo ››
- 11 Aug 2025 - 28 years in bed: Naomi's relentless fight for dignity, one day at a time
- 11 Aug 2025 - Devolution system's good, bad and ugly 12 years later
- 11 Aug 2025 - Between refuge and ruin: How Dadaab's survival battle is fuelling an eco crisis
- 11 Aug 2025 - Like Jomo Kenyatta and Kwame Nkrumah, 'saviour' Ruto has disappointed
- 11 Aug 2025 - Public service hiring, long criticised for nepotism and tribal bias, now openly fuelled by bribes.
- 11 Aug 2025 - As the body enters prolonged nutrient deprivation, the visible and invisible signs of starvation intensify.
- 11 Aug 2025 - Her loans, care work, and sacrifices earn her equal share of matrimonial property after divorce.
- 11 Aug 2025 - Mr Gachagua accuses the National Assembly of abusing the judicial process and undermining the integrity of the Supreme Court.
- 11 Aug 2025 - Judiciary handling a list of disputes that could significantly shape the political landscape.
- 11 Aug 2025 - They reportedly hired a welder to hack the politico’s safe, which held stacks of 200 and 500-shilling notes.