- 503 views
Hospitali ya Nairobi Womens imekana ripoti iliyotolewa na shirika la Oxfam International kuhusu shughuli zake. Kupitia kwenye taarifa kwa vyombo vya habari Afisa Mkuu Daktari Sam Thenya amesema hospitali hiyo haijawazuia wagonjwa kwa misingi yoyote na kwamba inafuata uamuzi wa mahakama mwaka 2018 kuhusu swala hilo. Aidha amesisiitiza kuwa hospitali hiyo haijapokea fedha zozote kutoka kwa mashirika ya uwekezaji mbali na hayo hakuna fedha zilizotolewa na mashirika hayo kwa hospitali hiyo ili kupunguza gharama ya matibabu. Na kuhusu umiliki wa hospitali hiyo Daktari Thenya amesisitiza kuwa tangu mwaka 2006 hazina ya Afrika Health ilipowekeza katika hospitali hiyo kwa mara ya kwanza kumekuwa na wawekezaji wengine waliojihusisha na shughuli zake. na kwamba makubaliano hayo ni ya kibiashara na kumekuwa na makubaliano ya kuwepo kwa wenye hisa na yalifuata taratibu zilizoko za kisheria za humu nchini za kimataifa.
Hospitali ya Nairobi Women's yajitetea na madai yaliyotolewa na shirika la Oxfam
- - Duniani Leo ››
- 11 Aug 2025 - Elevated prolactin during pregnancy can reduce intimacy.
- 11 Aug 2025 - The Devolution Conference 2025 kicks off tomorrow and will run till Friday.
- 11 Aug 2025 - NCIC says hate speech in rallies undermines leadership and violates constitutional values.
- 11 Aug 2025 - 28 years in bed: Naomi's relentless fight for dignity, one day at a time
- 11 Aug 2025 - Devolution system's good, bad and ugly 12 years later
- 11 Aug 2025 - Between refuge and ruin: How Dadaab's survival battle is fuelling an eco crisis
- 11 Aug 2025 - Like Jomo Kenyatta and Kwame Nkrumah, 'saviour' Ruto has disappointed
- 11 Aug 2025 - As the body enters prolonged nutrient deprivation, the visible and invisible signs of starvation intensify.
- 11 Aug 2025 - Her loans, care work, and sacrifices earn her equal share of matrimonial property after divorce.
- 11 Aug 2025 - Mr Gachagua accuses the National Assembly of abusing the judicial process and undermining the integrity of the Supreme Court.