- 267 views
Miezi michache baada ya serikali ya kitaifa kuondoa marufuku ya ununuzi na uuzaji wa vyuma vikuukuu nchini, sasa muungano wa wafanyabiashara katika sekta hiyo kaunti ya Kakamega umejitokeza na kujitenga na madai kuwa wanashirikiana na wezi wa nyaya na vifaa vingine vya umeme katika eneo hilo. Wakizungumza mjini Kakamega kwenye mkutano wa uhamasisho ulioshirikisha vitengo vya usalama, viongozi wa serikali kuu na wafanyabiashara wa vyuma vikuukuu, wameitaka serikali kutilia mkazo suala la kutoa leseni kwa wafanyabiashara halali. Aidha, wafanyabiashara hao wamewataka wananchi kuwa macho dhidi ya matapeli ambao wamejiingiza katika biashara hiyo kwa nia ya kuwaharibia jina
Wafanyabiashara wa vyuma vikuukuu katika kaunti ya Kakamega walaumiwa kwa wizi wa nyaya za umeme
- - Duniani Leo ››
- 12 Aug 2025 - Gold prices fell on Monday after President Donald Trump said tariffs will not be placed on imported gold bars, while investors awaited a U.S. inflation report that could provide an indication of the Federal Reserve's rate outlook.
- 12 Aug 2025 - Four reactors at France's Gravelines nuclear power plant were shut down late Sunday due to a swarm of jellyfish in the cooling systems, operator EDF said on Monday, likely due to rising water temperatures because of global warming.
- 12 Aug 2025 - The operator of Wikipedia on Monday lost a legal challenge to parts of Britain's Online Safety Act, which sets tough new requirements for online platforms and has been criticised for potentially curtailing free speech.
- 12 Aug 2025 - India's top court ordered authorities in the capital Delhi and its suburbs on Monday to relocate all stray dogs to shelters within eight weeks, according to the Live Law website, after media reports of a rise in cases of rabies, especially among…
- 12 Aug 2025 - President Donald Trump said on Monday that his administration is looking at reclassifying marijuana as a less dangerous drug and potentially lower criminal penalties, but no final decision has been made.
- 12 Aug 2025 - Nigerian prosecutors on Monday arraigned five men accused of carrying out a deadly Islamist militant attack on a Catholic church in Owo, in the southwestern Ondo state, that killed at least 50 worshippers in 2022 and wounded over 100 others.
- 12 Aug 2025 - Cover-ups in prisons deny inmates justice, rights groups warn
- 12 Aug 2025 - Ojwang's death: Ruto, AG accused of shielding DIG Lagat from justice
- 12 Aug 2025 - DAP-K convenes crisis talks as Wamalwa, Natembeya rift widens
- 12 Aug 2025 - Shock as man dies in police custody after fight with wife