- 229 views
Mashindano ya michezo ya Shule za Sekondari kaunti ya Nandi yamekamilika Kwa kishindo huku shule ya upili ya Cheptil, Itigo,kosirai na Chemase wakijipatia tikiti ya kuwakilisha Kaunti hiyo kwenye mashindano ya ukanda mwa bonde la ufa. Timu ya voliboli ya valuna ambayo pia ni Mabingwa wa Afrika Mashariki ,Cheptil, walionyesha ubabe wao kwa kucharaza timu ya Lelmokwo seti 3-2. Timu ya Voliboli kwa wasichana ya AIC Kosirai iliishinda Cheptil seti 3-2 huku Timu ya wasichana ya Itigo Queens ikiiibuka Mshindi wa soka baada ya kuishinda timu ya Koitabut kwa mabao 7-0. Katika Soka ya Wavulana, timu ya Chemase iliinyuka koitabut mabao 7-0 kwenye mashindano yaliyofanyika Katika Shule za Wasichana za Aldai na St..Marks Kaptumo
Mashindano ya michezo ya shule za sekondari katika kaunti ya Nandi yakamilika
- 12 Aug 2025 - The Ministry of Roads and Transport is assuring Kenyans that no new pending bills will arise from ongoing road projects.
- 12 Aug 2025 - Patients in Machakos County health facilities are bearing the brunt of the ongoing nurses’ strike. Scores of patients at the county’s level five hospital have been left unattended as the strike entered its sixth day.
- 12 Aug 2025 - A Mombasa court has closed the inquest into the death of British national Harry Roy Veevers, bringing to an end an 11-year legal process that failed to establish the cause of death.
- 12 Aug 2025 - A man captured on video savagely assaulting a woman during the Kutit Culture Event at Nairobi’s Carnivore Grounds has been arrested and charged.
- 12 Aug 2025 - Kenya’s veterinary profession is basking in international acclaim following a historic win by Prof. Susan W. Mbugua at the World Veterinary Association Global Veterinary Awards in Washington DC.
- 12 Aug 2025 - Public Service, Human Capital Development, and Special Programmes Cabinet Secretary Geoffrey Ruku has moved swiftly to de-escalate tensions in Siakago Town, Mbeere North, following violent clashes between two warring groups.
- 12 Aug 2025 - EACC detectives camped at the Laikipia County Assembly for the better part of Tuesday to investigate Speaker Lantano Nabaala over claims of forging his academic papers.
- 12 Aug 2025 - The internship programme, set to last 12 months, will place interns in schools where they will receive mentorship and hands-on teaching experience.
- 12 Aug 2025 - Court also bars him from talking about her online.
- 12 Aug 2025 - Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen now says no public servant should openly oppose the government of the day, warning that such conduct is both illegal and unconstitutional.