- 16,874 views
Waziri wa ulinzi Aden Duale leo ameonya kuwa serikali haitasita kuchukua hatua kali za kisheria dhidi ya familia ya rais mstaafu Uhuru Kenyatta iwapo hawatatii amri ya kusalimisha silaha anazodai wanamiliki kinyume na sheria. Duale akidai kuwa rais mstaafu amekuwa akihusika katika kufadhili maandamano ya kupinga serikali yanayoongozwa na Azimio la Umoja. Serfine Achieng Ouma anaarifu huku sasa ikibainika kuwa nyumba tatu zilizolengwa kwenye msako wa silaha ni za wanasiasa
Duale aonya familia ya rais mstaafu isikaidi agizo la kusalimisha silaha
- - Amerucan Golf Day ››
- 17 Aug 2025 - Following are key quotes from Russian President Vladimir Putin's statement after meeting U.S. President Donald Trump in Alaska on Friday.
- 17 Aug 2025 - A young Palestinian woman who was flown from Gaza to an Italian hospital in a severely emaciated state for treatment has died, the hospital said Saturday.
- 17 Aug 2025 - Social media personality Faustine Baba Talisha, on Saturday, August 16, 2025, continued marking the fifth anniversary of his
- 17 Aug 2025 - Inside the power games behind Governor Mutai fresh ouster bid
- 17 Aug 2025 - Auditor General queries Sakaja's Dishi na County project
- 17 Aug 2025 - PS denies money from e-Citizen platform accounts was stolen
- 17 Aug 2025 - Ruto's shift towards China reveals costly miscalculation on US ties
- 17 Aug 2025 - How background check cost ex-Equity Bank's staff plum job
- 17 Aug 2025 - Court battles bleed billions from public universities
- 17 Aug 2025 - Cheer Harambee Stars with an eye on the fly in our soup