- 326 views
Kizaazaa kilizuka baina ya mkandarasi mmoja anayehusika na ujenzi wa barabara kuu ya Mombasa - Malindi na maafisa wa serikali ya kaunti kuhusu ulipaji wa ada ya saruji inayotumika katika ujenzi wa barabara hiyo. Kulingana na maafisa wa kaunti, mkandarasi huyo anapaswa kulipa ada ya shilingi 3,400 huku mkandarasi huyo akidai kuwa yuko na stakabadhi zote na kudai kuhangaishwa na maafisa hao zaidi ya mara moja wakidai hongo.
Mkandarasi adai kuhangaishwa na maafisa wa kaunti ya Mombasa kuhusu malipo ya ada ya saruji
- - Amerucan Golf Day ››
- 17 Aug 2025 - Following are key quotes from Russian President Vladimir Putin's statement after meeting U.S. President Donald Trump in Alaska on Friday.
- 17 Aug 2025 - A young Palestinian woman who was flown from Gaza to an Italian hospital in a severely emaciated state for treatment has died, the hospital said Saturday.
- 17 Aug 2025 - Social media personality Faustine Baba Talisha, on Saturday, August 16, 2025, continued marking the fifth anniversary of his
- 17 Aug 2025 - Inside the power games behind Governor Mutai fresh ouster bid
- 17 Aug 2025 - Auditor General queries Sakaja's Dishi na County project
- 17 Aug 2025 - Hustler accuses MPs of corruption, naysayers now await deliverance
- 17 Aug 2025 - Comedy of errors: Why Ruto has egg on face over jobs
- 17 Aug 2025 - PS denies money from e-Citizen platform accounts was stolen
- 17 Aug 2025 - Ruto's shift towards China reveals costly miscalculation on US ties
- 17 Aug 2025 - How background check cost ex-Equity Bank's staff plum job