- 195 views
Stesheni ya radio ya Sulwe FM inayomilikiwa na kamupuni ya Royal Media Services imeadhimisha miaka 15 tangu kuasisiwa. Idhaa ya Sulwe FM hupeperusha matangazo yake kwa lugha ya Kibukusu. Msimamizi Mkurugenzi wa Habari na Teknolojia katika kampuni ya Royal Media Services Fred Afune akiwashukuru wasikilizaji kutoka eneo la Magharibi kwa kufanya kituo cha Sulwe kutawala mawimbi ya utangazaji kwa miaka 15 na kutoa ahadi ya kuboresha vipindi vyake. Aidha Gavana wa Bungoma Ken Lusaka ametaja kituo cha redio cha Sulwe FM kama ambacho kimetoa mwelekeo kwa wenyeji wa jamii ya Mulembe kisiasa, kijamiii na kiuchumi na kwamba Sulwe ni raslimali kubwa kwa watu wa Magharibi ya Kenya.
Sulwe FM yadhimisha miaka 15 tangu kuasisiwa
- 18 Aug 2025 - In a statement issued on Monday, Prime Cabinet Secretary and Foreign Affairs Cabinet Secretary Musalia Mudavadi stated that President William Ruto's recent redeployment of Ambassadors, High Commissioners, Consul-Generals, and Deputy Heads of Mission to…
- 18 Aug 2025 - According to a statement from State House Spokesperson Hussein Mohamed, Japan’s longstanding partnership with Kenya has grown to more than KSh600 billion, making Kenya the leading recipient of Japanese support in Africa.
- 18 Aug 2025 - Hundreds of students have decried the uncertainty surrounding their university school fees.
- 18 Aug 2025 - The DP stated that the bipartisanship shown by the two major parties since striking a deal to work together has steadied the nation enabling it to focus on service delivery and national development.
- 18 Aug 2025 - Kenya Kwanza and Orange Democratic Movement (ODM) lawmakers on Monday resolved to work together in Parliament under a bipartisan framework, pledging to prioritise national unity and implementation of a joint 10-point agenda.
- 18 Aug 2025 - Cyrus Rono reacted after finding Moody Awori in his house.
- 18 Aug 2025 - The project is expected to take 24 months.
- 18 Aug 2025 - The Wasafi family feud has taken a dramatic turn after Diamond Platnumz hit back at his former signee,
- 18 Aug 2025 - “As the lead agency in the fight against alcohol and drug abuse, NACADA will play a central role in this campaign.”
- 18 Aug 2025 - President William Ruto has honoured his promise of Ksh2.5 million in cash rewards for Harambee Stars players following