Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa makanisa Kitui washirikiana na serikali kumaliza visa vya ubakaji

  • | Citizen TV
    142 views
    Duration: 2:20
    Kutokana na kuongezeka kwa visa vya wasichana kunajisiwa,na watu tofauti tofauti, viongozi wa makanisa kutoka kata dogo la Mumoni kaunti ya Kitui wameanzisha juhudi za kusaidiana na selikali ili kumaliza visa hivyo.