- 986 views
Wakulima katika kaunti ya Trans Nzoia wanaitaka halmashauri ya nafaka na mazao kununua mahindi wanayovuna kwa shilingi elfu sita na zaidi kwa kila gunia la kilo tisini. Wakulima wanasema kuwa japo mbolea ya bei nafuu inayotolewa na serikali imesaidia kupunguza gharama ya uzalishaji mahindi kwa shilingi elfu kumi kwa kila ekari moja, gharama ya mafuta na gharama zinginezo bado zimeendelea kuwa juu. Haya yanajiri wakati ambapo serikali inasema bei ya unga itarudi chini karibuni.
Wakulima kutoka kaunti ya Trans Nzoia wataka mahindi yanunuliwa shilingi 6,000
- - Duniani Leo ››
- 19 Aug 2025 - Vehicles used to smuggle goods to be handed to the State, says judge
- 19 Aug 2025 - Justice on sale: How racketeers at Busia courts are exploiting suspects, widows
- 19 Aug 2025 - DPP challenges the acquittal of terror suspects in explosives case
- 19 Aug 2025 - Parliamentary group meeting turned stormy due to leaders' sustained accusations of bribery against the National Assembly.
- 19 Aug 2025 - Group C- Painful exit awaits either Uganda, Algeria, or South Africa
- 19 Aug 2025 - What was presented to rice farmers as a solution to weeds has now become a nightmare.
- 19 Aug 2025 - It is important for Kenyans who intend to apply for a U.S. visa to be aware of recent
- 19 Aug 2025 - Auditor cites inaccurate record keeping, unsupported expenditures as among the challenges.
- 19 Aug 2025 - He’s reportedly determined to uncover who sidelined him and why, given his influential position.
- 19 Aug 2025 - Land has a vital role in sustaining human communities, nurturing diverse ecosystems, and regulating the climate of our planet.