- 2,754 viewsKatika mkutano wa mfumo wa chakula na kilimo unaoendelea nchini Tanzania wadau wamehimizwa uwezeshaji wa wanawake katika kilimo, uvuvi na ufugaji ili kuongeza mchango wao katika kuimarisha mfumo wa chakula barani Afrika. Viongozi wa Afrika wapendekeza kuwepo na kodi mpya ya dunia na mageuzi katika taasisi za kimataifa za kifedha kwa ajili ya kusaidia kuchukuliwa hatua za kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa. Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C. #habari #voaswahili #mkutano #mifumo #kilimo #chakula #tanzania #wadau #wanawake #mageuzi #taasisi #kimataifa #kifedha #voa #voaswahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Tanzania: Mkutano wa mfumo wa chakula wahimiza uwezeshaji wa wanawake
- 3 Jul 2025 - With South Sudan's President Salva Kiir undergoing medical tests abroad after years of rumours about his health, analysts say a long-gestating plan has been set in motion to secure his succession.
- 3 Jul 2025 - U.S. President Donald Trump will host leaders from five African nations in Washington next week to discuss "commercial opportunities," a White House official said on Wednesday.
- 3 Jul 2025 - President William Ruto on Wednesday said the government has closed 1,000 hospitals for falsifying medical claims to the Social Health Authority (SHA).
- 3 Jul 2025 - Eldoret High Court will on July 4, 2025, sentence self-confessed serial killer Evans Juma Wanjala who is linked to the killing of five minors Moi’sbridge, Uasin Gishu County.
- 3 Jul 2025 - Another three of the helicopter's eight occupants survived the incident but with severe injuries and burns, said the spokesperson, Felix Kulayigye.
- 3 Jul 2025 - President William Ruto, who is in a tour in the United Kingdom on Wednesday addressed a Diaspora Townhall in London.
- 3 Jul 2025 - The activist has been missing since June 21.
- 3 Jul 2025 - Matiang'i recently revealed that he was in consultations with several political parties as he gears up for 2027.
- 3 Jul 2025 - The Director of Criminal Investigations (DCI), Mohamed Amin, is expected to appear in court at 11 am, following an order issued on Tuesday by High Court Judge Chacha Mwita. The judge on Tuesday directed Amin to present himself in person to explain the…
- 3 Jul 2025 - The ministry stated that Kenyans will receive compensation as part of government efforts to make them whole.