Skip to main content
Skip to main content

Miaka mitatu ya Ruto: Mafanikio na changamoto sekta ya kilimo

  • | Citizen TV
    977 views
    Duration: 2:43
    Sekta ya kilimo ndio uti wa uchumi wa taifa na bila shaka huathiri mengi kwa wakenya na haswa wakulima. Iwe upanzi wa mahindi au hata uzalishaji wa kahawa, sekta hizi bado zinasimulia chagamoto licha ya matumaini ya serikali kuwa hali imeendelea kubadilika.