- 255 views
Waziri wa Usalama Profesa Kithure Kindiki amesema kuwa ufisadi katika idara ya Uhamiaji inachangia kukithiri kwa uhalifu na ugaidi nchini. Akizungumza kwenye kikao cha kamati ya bunge, Kindiki amesema kuwa jumba la Nyayo lililoko hapa jijini Nairobi ni kitovu cha ufisadi huku akiahidi kuwa atakomesha utepetevu na ulaji rushwa katika jumba hilo. Aidha watu 58,000 bado wanasubiri kupata pasi za usafiri zinazofaa kutolewa baada ya siku saba pekee.
Waziri wa Usalama Kindiki awaonya maafisa wafisadi katika jumba la Nyayo
- 22 Aug 2025 - Interior Cabinet Secretary (CS) Kipchumba Murkomen has shed light on how the government secured the release of the
- 22 Aug 2025 - Scores were injured as former deputy president Rigathi Gachagua's supporters clashed with armed goons who attempted to disrupt the procession from JKIA.
- 22 Aug 2025 - The Interior Cabinet Secretary (CS) Kipchumba Murkomen has called on Members of Parliament to embrace transparency in the
- 22 Aug 2025 - The People’s Liberation Party (PLP) leader, Martha Karua, has questioned the huge sums of money splashed in churches by
- 22 Aug 2025 - Safaricom unveils time-based internet bundles
- 22 Aug 2025 - CBK to monitor bank customers' transactions in real-time after system upgrade
- 22 Aug 2025 - Walking in the rain at AG's chambers, looking for proof of 'return of seal'
- 22 Aug 2025 - Why Ruto wanted the anti-laundering Bill
- 22 Aug 2025 - Rashid trial: Teens shot 10 times, says pathologist
- 22 Aug 2025 - A charged return: Gachagua's frenzied homecoming to violent ambush on city highway