Skip to main content
Skip to main content

Familia yafanya ibada ya ukumbusho ya Erick Maigo

  • | Citizen TV
    291 views
    Duration: 3:11
    Familia, jamaa na marafiki ya aliyekuwa Mkurugenzi mkuu wa Maswala ya Kifedha katika Nairobi Hospital Erick Maigo, aliyepatikana amuawa kinyama nyumbani kwake waliandaa hafla ya makumbusho nyumbani kwake Kule Kisii miaka miwili tangu kifo chake. Familia ya marehemu ikitimia nafasi hiyo kuiomba serikali na idara ya usalama kufanya juu chini ili haki kwa mpendwa wao ipatikane. Chrispine Otieno na mengi zaidi