Skip to main content
Skip to main content

Babake kiongozi wa wengi bungeni azikwa Gikambura, Kiambu

  • | Citizen TV
    1,772 views
    Duration: 1:29
    Mzee Isaac Ichung'wa Ngugi ambaye ni babake kiongozi wa wengi bungeni, na ambaye ni mbunge wa Kikuyu Kimani Ichung'wa anazikwa leo nyumbani kwake Gikambura kaunti ya Kiambu. Rais William Ruto na viongozi wengine wakuu wa serikali wanahudhuria mazishi hayo.