- 382 views
Kinara wa Azimio Raila Odinga amemshtumu katibu mkuu wa muungano wa vyama vya wafanyikazi nchini COTU, Francis Atwoli kwa kuwatelekeza wafanyikazi nchini kufuatia hatua yake ya kuunga mkono serikali ya Rais William Ruto. Odinga amemkashifu Atwoli akisema amewasahau wafanyikazi katika wakati anaohitajika zaidi na kumtaka awajibike. Kinara huyo wa upinzani aliyekuwa akihudhuria hafla ya mazishi ya aliyekuwa mwenyekiti wa muungano wa vyama vya wafanyikazi COTU Rajab Mwondi katika kaunti ya vihiga pia amemkashifu Rais Ruto kwa matamshi yake anayodai yanatishia mshikamano wa kitaifa.
Kinara wa Azimio Raila Odinga amshtumu Francis Atwoli
- - dar michezo gor ››
- 19 May 2024 - The Democratic Republic of Congo's (DRC) armed forces repelled an attempted coup d'etat involving Congolese and foreign fighters on Sunday morning, a DRC army spokesman said in a televised address.
- 19 May 2024 - A 12-year-old boy was severely injured after being attacked by a buffalo while herding in Ramada village, Tana River County on Sunday.
- 19 May 2024 - A helicopter in the convoy of Iran's President Ebrahim Raisi was involved in "an accident" on Sunday, state media reported, without specifying if the president was on board.
- » 'We won't allow Gachagua to be mistreated,' Governor Kahiga says amid Kenya Kwanza fallout rumours19 May 2024 - Nyeri Governor Edward Mutahi Kahiga has hinted at a possible rift within the ruling Kenya Kwanza alliance.
- 19 May 2024 - “In fact, we can reject the entire budget if necessary.”
- 19 May 2024 - "We sincerely apologise to the customers who have been inconvenienced."
- 19 May 2024 - Search and rescue team were headed to the remote mountain area, state media in the Islamic republic reported.
- 19 May 2024 - Union says justice must prevail for the family of the slain teacher
- 19 May 2024 - The Deputy President had weeks ago touted the one-man one-vote one-shilling approach as a better option for sharing revenue.
- 19 May 2024 - It reduced greenhouse gas emissions by 28%.