- 597 views
Baraza la magavana limemkosoa Waziri wa afya susan nakhumicha kwa kuwasilisha bungeni miswada mitatu inayohusu afya bila kuwahusisha. magavana wanasema kuwa baadhi ya vipengee ambavyo vinahusu ukusanyaji wa fedha za hazina ya matibabu, uwazi wa data za wakenya walioko chini ya mpango huo na gharama kwa serikali za kaunti vina utata. aidha waziri nakhumicha amewahakikishia magavana kuwa kila mmoja atapata data kuhusu kaunti yake huku akisisitiza kuwa miswada hiyo ilitokana na ripoti zilizoko.
Baraza la magavana lakosoa waziri Nakhumicha kuhusiana na miswada ya afya ilioko bungeni
- 3 Jul 2025 - Thousands of youths on Thursday stormed and torched the Mawego Police post in Rachuonyo East, Homa Bay County, while carrying the coffin of the late blogger Albert Ojwang' who is set to be buried tomorrow.
- 3 Jul 2025 - Gem MP Elisha Odhiambo has announced plans to take legal action against former Interior Cabinet Secretary Dr. Fred Matiang’i over alleged extrajudicial killings during the Jubilee administration.
- 3 Jul 2025 - President William Ruto on Wednesday witnessed the signing of Memorandum of Understandings (MoUs) with learning institutions in the United Kingdom.
- 3 Jul 2025 - The National Police Service (NPS) is on high alert to avoid publishing false or inconsistent reports of incidences, particularly those concerning persons held in custody for various reasons.
- 3 Jul 2025 - Kariuki was confirmed dead on June 30 after weeks in intensive care.
- 3 Jul 2025 - The youth sort to stop opposition politicians from accessing the region.
- 3 Jul 2025 - The changes will come into effect next month.
- 3 Jul 2025 - The former spy and his wife were being held by DCI over the murder of a businesswoman
- 3 Jul 2025 - "At one point, I heard her say that Kandie had received a thorough beating from God,” Vienna testified.
- 3 Jul 2025 - The Kenya Medical Supplies Authority (KEMSA) has launched a two-week annual stocktaking exercise to strengthen the national health supply chain.