- 1,034 views
Waziri wa usalama Profesa Kithure Kindiki sasa anasema kuwa mrundiko wa vyeti vya uhamiaji utaisha katika muda wa siku kumi zijazo. Kindiki ambaye alifanya ziara ya ghafla kwa mara ya tatu katika idara ya uhamiaji katika jumba la nyayo hapa jijini Nairobi, anasema mrundiko wa pasipoti umepungua hadi elfu 40,000. Prof Kindiki ameongeza kuwa mikakati ambayo imeratibiwa kuimarisha uchapishaji wa pasipoti utapunguza muda wa kupiga foleni hadi dakika 30 kutoka zaidi ya saa mbili. Kadhalika kindiki amesikitishwa na hali ya kujikokota wakati wa kutafuta cheti cha maadili katika idara ya upelelezi na kuahidi kushughulikia suala hilo .
Kindiki: Mrundiko wa pasipoti umepungua hadi 40,000
- 8 Jul 2025 - The government has launched a fresh crackdown targeting foreign nationals from Burundi, Rwanda, the Democratic Republic of Congo (DRC), and Uganda’s Wagisu community residing in West Pokot County, over suspected involvement in cannibalism and human organ…
- 8 Jul 2025 - 36 suspects were arraigned on Tuesday at the Eldoret law court with charges of being in possession of weapons in public contrary to section 88 of the penal code.
- 8 Jul 2025 - The Cabinet Secretary for Health, Aden Duale, has vowed to end the practice of bed-sharing among patients in public health facilities to promote quality healthcare across the country.
- 8 Jul 2025 - The Parliament in Kenya is moving to formally integrate the National Government Constituencies Development Fund (NG-CDF), the Senate Oversight Fund, and the National Government Affirmative Action Fund (NGAAF) into the Constitution through the…
- 8 Jul 2025 - Duale expressed concern over reports of multiple patients sharing a single bed in public hospitals
- 8 Jul 2025 - The requirement has been in force for close to two decades.
- 8 Jul 2025 - “We have not achieved what Saba Saba intended,” Raila stated. “The violation of human rights is still a challenge in the country. The economy has not performed as we expected. Saba Saba was meant to bring people together for a common cause” he asserted.
- 8 Jul 2025 - Families in Kiambu are in despair after six people, including a 12-year-old girl, were killed by police during Saba Saba Day protests on Monday, June 2025.
- 8 Jul 2025 - CoG has already opened registration for interested stakeholders.
- 8 Jul 2025 - Narok County Senator Ledama Olekina has strongly criticized former Deputy President Rigathi Gachagua, insisting he should not be