Skip to main content
Skip to main content

Mtu mmoja auawa kwa kupigwa risasi Loruk kaunti ya Baringo

  • | Citizen TV
    2,116 views
    Duration: 1:25
    Mtu mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi huku wengine watatu wakijeruhiwa katika shambulio la kijambazi katika njia ya mkato ya Loruk kaunti ya Baringo .