- 80 views
Kundi moja la vijana jijini Nairobi limechukua jukumu la kukuza miche ya matunda kupitia ukusanyaji wa mbegu ambazo kwa kawaida zingepotea katika masoko na shule. Miche wanayoikuza hupelekwa shuleni kupandwa. kujitolea huko sio tu ni kama njia ya kuhamasisha wanafunzi kuhusu umuhimu wa kupanda miti bali pia kuwapa motisha kwa kuwa wanafurahia matunda miti inapokomaa. Kulingana na mwenyekiti wa kundi hilo James Kamau, msimu huu wamegawa zaidi ya miche 10,000 kwa shule tofauti katika kaunti ya Nairobi pekee.
Kundi moja la vijana jijini Nairobi lachukua jukumu la kukuza miche ya matunda
- 2 Jun 2024 - Pomp and colour as thousands attend Madaraka fete in Bungoma
- 2 Jun 2024 - Questions over death of child in police cells over Sh465 debt row
- 2 Jun 2024 - Shrinking donor funding, vaccine shortages expose Kenya's struggles
- 2 Jun 2024 - President bets on agriculture to drive growth, blasts wastage
- 2 Jun 2024 - According to Dr Ruto, 'the UAE is a very good partner to Kenya and many other countries.'
- 2 Jun 2024 - Deputy President Rigathi Gachagua praised President Ruto as Kenya's vision carrier.
- 2 Jun 2024 - About 24,000 women and girls are currently suffering from fistula, with an additional 3,000 contracting the disease annually.
- 2 Jun 2024 - It is a tragedy that many in public positions seem to care for their benefits, but not for the people.
- 2 Jun 2024 - The second Russia-Africa summit held in July 2023 was an important milestone.
- 2 Jun 2024 - Government and partners should promote positive environments to discourage radicalisation.