- 17 views
Naibu rais Rigathi Gachagua, ametoa onyo kwa mawaziri na washauri wa serikali dhidi ya kuwaongelesha wakenya kwa ujeuri, huku serikali ikijitahidi kutafuta suluhu ya kupunguza gharama ya maisha. Katika taarifa yake baada ya kurejea nchini kutoka Columbia, Gachagua amewahimiza viongozi kuwa makini katika matamshi yao na kudhihirisha unyenyekevu kwa wakenya. Haya yanajiri huku seneta wa Kakamega Bonny Khalwale akitoa wito wa kusimamishwa kazi kwa maafisa wa umma wanaotoa matamshi ya kuharibia serikali sifa. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Rigathi Gachagua, ametoa onyo kwa mawaziri na washauri wa serikali
- - Duniani Leo ››
- 16 May 2024 - A middle-aged man was on Wednesday evening electrocuted to death in the Ulanda area of Awendo, Migori County.
- 16 May 2024 - A 22-year-old man on Thursday morning escaped death by a whisker after his house burnt in a suspected arson incident at Abom village in Bondo, Siaya County.
- 16 May 2024 - Nigeria's headline consumer inflation accelerated to a new 28-year high in April, hitting 33.69% year-on-year, up from 33.20% in March, statistics agency data showed on Wednesday.
- 16 May 2024 - The program was started in 1980 and has been helping over 2 million learners annually.
- 16 May 2024 - NMG is among the top media houses in the country with several subsidiaries.
- 16 May 2024 - Lawmakers take issue with an allocation to renovate the DP's Harambee Annex office and Karen residence.
- 16 May 2024 - Why Kenya exploits only 8pc of marine potential
- 16 May 2024 - Revealed: Ruto still has interest in Huduma Namba
- 16 May 2024 - Jilted suitor jailed 30 years for splashing acid in woman's eyes
- 16 May 2024 - Limuru III meeting sows confusion in Kenya Kwanza administration