- 71 viewsOnesmo Olengurumwa ambaye ni Mratibu wa Kitaifa wa Muungano wa watetezi wa haki za binadamu nchini Tanzania akiwa jijini New York, Marekani, kushiriki katika kuangazia muelekeo wa Haki za Binadamu kufikia Malengo ya Maendeleo ya Milenia. Ungana naye kupata maelezo kamili ... Olengurumwa alizungumza na mwandishi wa Sauti ya Amerika, Idd Ligongo ambaye yuko New York kufuatilia mkutano wa 78 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambao umeanza tarehe Septemba 19, 2023. #viongozi #mkutano #lengo #maendeleoendelevu #UN #voa #voaswahili #dunianileo - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Tanzania: Mratibu wa Kitaifa wa haki za binadamu aeleza hatari za kupoteza umoja wa kitaifa
- - CATCH K24TV LIVE ››
- 14 Jul 2025 - France's first lady has taken her case against two women over claims she used to be a man to the highest appeals court after a lower court let them off, her lawyer said Monday.
- 14 Jul 2025 - Former Lands Minister Amos Kimunya has defended himself against allegations of fraudulent disposal of public property, insisting in court that he acted within the law and in the public interest.
- 14 Jul 2025 - Police in Longisa, Bomet County are holding a 58-year-old school watchman after he allegedly defiled a 4-year-old PP2 pupil within the school premises.
- 14 Jul 2025 - Tension has gripped Likii slum in Nanyuki after police officers blocked protesters from entering Nanyuki town demanding justice for Julia Njoki, who was allegedly tortured by police officers while in custody after the Sabasaba protests.
- 14 Jul 2025 - Njoki died while in custody.
- 14 Jul 2025 - The Independent Policing Oversight Authority (IPOA) has dismissed reports that it has exonerated the Deputy Inspector General of Police, Eliud Lagat, in the murder of teacher and blogger Albert Ojwang’. In a statement on Monday, July 14, 2025, IPOA,…
- 14 Jul 2025 - The survey aims to resolve challenges affecting the youths.
- 14 Jul 2025 - The goods are alleged to have been stolen from Kombe Kohulo Comprehensive School.
- 14 Jul 2025 - It was the first time RSF fighters had entered the city in large numbers since the siege of el-Fasher began 15 months ago.
- 14 Jul 2025 - IPOA said reports suggesting that the Authority has exonerated Lagat are “misleading.”