- 0 viewsKila mwaka wakati Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa likikutana New York, kuna matukio ya pembeni yanaadaliwa au kudhaminiwa na UN kukiwa na mikutano, mijadala na mihadhara juu ya maudhui mbalimbali yanayohusiana na kikao cha UNGA. Moja ya matukio yaliyofanyika pembeni ya kikao cha mwaka huu ilikuwa juu ya maudhui "#Achieving #GapZero Evidence- Driven Inclusive Governance in Africa,” iliyoangazia namna na kuongeza ushiriki wa kisiasa wa wanawake katika bara hilo. Tukio hilo lilishirikisha mazungumzo ya ngazi ya juu akiwemo Rais wa zamani wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf, Ahunna Eziakonwa, naibu mkurugenzi wa utawala na kanda wa UNDP Afrika, Colleen Zamba, katibu wa Rais wa Malawi, Abdoulie Janneh, mkurugenzi mtendaji wa Taasisi ya Mo Ibrahim na wengine. Endelea kusikiliza anachoeleza Katibu Mkuu Kiongozi, Wizara ya Elimu Kenya... #unga #marekani #un #umojawamataifa #mafanikio #usawa #voa #voaswahili #marekani #sarahruto #wizarayaelimu #kenya #moibrahim #voaunga #unga78 - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
UNGA 78: '...Unapotoa fursa bora kwa wanaume na wanawake nini kinatokea...' Sarah Ruto
- 16 Jul 2025 - The Ministry of Health has now called on Kenyans to remain calm, following the reported cases of deaths due to an unidentified illness in Mombasa.
- 16 Jul 2025 - President William Ruto has asked leaders to stop inciting young people to violence and chaos and instead be part of the solution to the challenge of youth unemployment.
- 16 Jul 2025 - The Malaba Law Court has sentenced to 30 years imprisonment a school watchman it found guilty of defiling a 12-year-old school girl in Teso North, Busia County.
- 16 Jul 2025 - A 45-year-old woman and her four children have died in a deadly night fire in Bulapesa area of Isiolo town in what is believed to be a case of arson linked to a suspected love triangle.
- 16 Jul 2025 - Former deputy president Rigathi Gachagua has faced the ire of Kenyans after joining the thousands of heartbroken fans and leaders who shared their tributes to fallen comedian KK Mwenyewe - a young man who shot to fame by comically imitating the then-…
- 16 Jul 2025 - ICT Cabinet Secretary William Kabogo has said that the ministry will take action against parents or guardians who provide opportunities for their children to access pornographic material.
- 16 Jul 2025 - Koimburi was charged in absentia alongside Kanyenya-ini Ward MCA Grace Nduta Wairimu and five others
- 16 Jul 2025 - Three killed in Bangladesh after clashes in Hasina's hometown
- 16 Jul 2025 - Court issues arrest warrant for Juja MP George Koimburi and two others over staged abduction, orders them to appear on August 5 to face criminal charges.
- 16 Jul 2025 - A woman has been sentenced to three years’ probation with mandatory psychiatric evaluation after a Kisumu court found that she was guilty of murdering her infant son who was 11 months old.