- 125 viewsSanaa iliyojengwa inayowakilisha Malengo ya Maendeleo Endelevu 17 inaonyeshwa makao makuu ya Umoja wa Mataifa wakati kikao cha 78 cha Baraza Kuu kikiendelea huko New York. SDGs hizo zinatambulisha matatizo ya kimataifa na kuyapa malengo husika kama vile Hakuna Umaskini, Kutokomeza Njaa, Kupunguza Kutokuwepo Usawa, Hatua za Kukabiliana na Mabadiliko ya Hali ya Hewa, na mengineyo. The SDG Summit was held on Sept. 18-19 during the high-level week. Mkutano huo wa SDGs umefanyika kuanzia Septemba 18-19 katika wiki ya vikao vya ngazi ya juu. #unga #voaunga #unga78 - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Je, unafahamu Malengo ya Maendeleo Endelevu 17 yanawakilisha matatizo gani?
- 12 May 2025 - In the small Peruvian town of Eten, the faithful flock every year to celebrate an apparent 17th century miracle featuring images of the child Jesus, a sacred phenomenon not yet recognized by the Vatican.
- 12 May 2025 - Detectives in Athi River have arrested three suspects linked to a number of robberies in the area.
- 12 May 2025 - The United States and China on Sunday said progress had been made after a weekend of talks aimed at de-escalating trade tensions sparked by President Donald Trump's aggressive tariff rollout.
- 12 May 2025 - Kenya National Union of Teachers (KNUT) Secretary General Collins Oyuu has called on the government to ensure that the capitation funds for schools are released on time.
- 12 May 2025 - The frontier between arch-foes India and Pakistan was peaceful and had the "first calm night in recent days", the Indian army said Monday, after a surprise weekend ceasefire.
- 12 May 2025 - The first white South Africans granted refugee status under a programme initiated by U.S. President Donald Trump boarded a plane to leave from the country's main international airport in Johannesburg on Sunday.
- 12 May 2025 - They are to appear before the DCI at 11am.
- 12 May 2025 - Those allied to Gachagua are demanding his return to office.
- 12 May 2025 - Kindiki is working to rally the region behind the head of state, but faces mounting resistance from his predecessor, Gachagua
- 12 May 2025 - Proposal would result in the de-gazettement of 44 areas, reducing the state’s budget.