- 163 viewsKila mwaka wakati Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa likikutana New York, kuna matukio ya pembeni yanaadaliwa au kudhaminiwa na UN kukiwa na mikutano, mijadala na mihadhara juu ya maudhui mbalimbali yanayohusiana na kikao cha UNGA. Sikiliza rai ya Katibu Mkuu Kiongozi wa Wizara ya Elimu Kenya Sarah Ruto kuhusu kutoa elimu bora kwa wanaume na wanawake, Moja ya matukio yaliyofanyika pembeni ya kikao cha mwaka huu ilikuwa juu ya maudhui #Achieving #GapZero Evidence- Driven Inclusive Governance in Africa,” iliyoangazia namna na kuongeza ushiriki wa kisiasa wa wanawake katika bara hilo. Tukio hilo lilishirikisha mazungumzo ya ngazi ya juu akiwemo Rais wa zamani wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf, Ahunna Eziakonwa, naibu mkurugenzi wa utawala na kanda wa UNDP Afrika, Colleen Zamba, katibu wa Rais wa Malawi, Abdoulie Janneh, mkurugenzi mtendaji wa Taasisi ya Mo Ibrahim na wengine. #unga #voaunga #unga78
'...Unapotoa fursa bora kwa wanaume na wanawake nini kinatokea...'
- 12 May 2025 - In the small Peruvian town of Eten, the faithful flock every year to celebrate an apparent 17th century miracle featuring images of the child Jesus, a sacred phenomenon not yet recognized by the Vatican.
- 12 May 2025 - Detectives in Athi River have arrested three suspects linked to a number of robberies in the area.
- 12 May 2025 - The United States and China on Sunday said progress had been made after a weekend of talks aimed at de-escalating trade tensions sparked by President Donald Trump's aggressive tariff rollout.
- 12 May 2025 - Kenya National Union of Teachers (KNUT) Secretary General Collins Oyuu has called on the government to ensure that the capitation funds for schools are released on time.
- 12 May 2025 - The frontier between arch-foes India and Pakistan was peaceful and had the "first calm night in recent days", the Indian army said Monday, after a surprise weekend ceasefire.
- 12 May 2025 - The first white South Africans granted refugee status under a programme initiated by U.S. President Donald Trump boarded a plane to leave from the country's main international airport in Johannesburg on Sunday.
- 12 May 2025 - They are to appear before the DCI at 11am.
- 12 May 2025 - Four counties—Nairobi, Kakamega, Narok and Bungoma—had the highest reported cases of teenage pregnancies in 2024, according to a recent report. Out of the 241,228 teenage pregnancies reported countrywide last year, Nairobi had the highest (six per cent…
- 12 May 2025 - Former Senate Majority Leader Samuel Poghisio has raised concerns over the integrity of the judicial process surrounding the impeachment of former Deputy President Rigathi Gachagua. Speaking on a local TV show on Monday, May 12, 2025, Poghisio suggested…
- 12 May 2025 - Those allied to Gachagua are demanding his return to office.