Mbunge wa Chama cha Republikan athibitisha kuwa Spika McCarthy yuko katika wakati mgumu
Kundi la Warepublikan wanaodhibiti chama katika Baraza la Wawakilishi wanataka makato makubwa sana ya matumizi ya ndani pamoja na msaada wa Marekani kwa Ukraine katika vita vinavyo endelea dhidi ya uvamizi wa Russia. Lakini kipo kitu ambacho hakipendwi na watu wamrengo wa kulia katika Baraza la Wawakilishi na kinafanya Kevin McCarthy awe katika wakati mgumu. Sikiliza maelezo ya Mbunge ambaye anasimama upande wake. Endelea kusikiliza...
#serikali #marekani #bunge #makubaliano #warepublikan #wademokrat #chama #mchakato #mazungumzo #muwafaka #spika #barazalawawakilishi #serikalikufungwa
11 May 2025
- Thika Road, Ojijo Road, Tom Mboya and Moi Avenue are among the roads that have been rendered impassable.
11 May 2025
- Authorities embarked on a calculated operation and nabbed the suspect who pulled the trigger.
11 May 2025
- Kindiki was appointed as Deputy President to replace the impeached Rigathi Gachagua.
12 May 2025
- Speaking during a meeting with over 5,000 elders from Embu, an event co-hosted by the two leaders, Kindiki rebuked the newly appointed CS for calling on the government to tarmac roads in the region.
12 May 2025
- Speaking during a Sunday church service in Juja, Kiambu County, Gachagua struck a defiant and optimistic tone, rallying Kenya’s youth—particularly Generation Z—to take an active role in the country’s democratic process.
12 May 2025
- Digital recruitment of police will eliminate corruption IG Kanja
12 May 2025
- Endometriosis: The silent women's crisis
12 May 2025
- Ruto's IEBC nominees face tough approval ahead of House vetting
12 May 2025
- More than just mood swings: How to spot and fix hormonal imbalance
12 May 2025
- Malaysia to move palm oil business head office to Nairobi
12 May 2025
- State silent after Kenyan pilot killed, plane wrecked in Sudan's RSF mission
12 May 2025
- Religion meets science as faith endorse cervical cancer jab
12 May 2025
- Champions Equity Hawks, Sparks and Swords win