Kundi la Warepublikan wanaodhibiti chama katika Baraza la Wawakilishi wanataka makato makubwa sana ya matumizi ya ndani pamoja na msaada wa Marekani kwa Ukraine katika vita vinavyo endelea dhidi ya uvamizi wa Russia. Lakini kipo kitu ambacho hakipendwi na watu wamrengo wa kulia katika Baraza la Wawakilishi na kinafanya Kevin McCarthy awe katika wakati mgumu. Sikiliza maelezo ya Mbunge ambaye anasimama upande wake. Endelea kusikiliza...
#serikali #marekani #bunge #makubaliano #warepublikan #wademokrat #chama #mchakato #mazungumzo #muwafaka #spika #barazalawawakilishi #serikalikufungwa
19 Jul 2025
- Democracy for the Citizens Party (DCP) leader Rigathi Gachagua has accused Deputy President Kithure Kindiki, of orchestrating the chaos witnessed during last month's anti-government protests.
19 Jul 2025
- Politicians inciting Kenyans to violence and planting seeds of hatred and discord ahead of the 2027 General Election must be called out, Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has said.
19 Jul 2025
- Politician and renowned lawyer Mugambi Imanyara has attributed Kawira Mwangaza’s political predicaments and subsequent ouster as Meru governor to her independent candidate status. Speaking during the unveiling of the former governor’s new political…
19 Jul 2025
- Kenya’s Emmanuel Wanyonyi lit up the London Diamond League on Saturday, July 19, 2025, by storming to a commanding victory in the men’s 800m final with a meeting record of 1:42.00. Wanyonyi, 20, left no doubt about his elite status on the global stage,…