Skip to main content
Skip to main content

IPOA yapendekeza mageuzi katika idara ya polisi nchini

  • | Citizen TV
    302 views
    Duration: 1:32
    Mamlaka ya IPOA leo imezindua sera ya kufanyia mabadiliko idara ya polisi huku idara hiyo ikipewa taarifa mchanganyiko kuhusiana na utendakazi wa maafisa wa usalama. Suala la haki miongoni mwa waathiriwa ambapo wamekabiliwa na polisi pia lilipewa kipaumbele. Aidha pendekezo la kutoa fidia kwa waathiriwa wa maandamano limejadiliwa lakini wasemaji wamesisitiza kuwa lazima kuwe na haki ambapo polisi wahusika wanakabiliwa kisheria.