- 12 views
Vyama vya wanafunzi wa vyuo vikuu vimepinga mfumo mpya wa kufadhili masomo vyuoni wakisema hawakushauriwa ama kuhusishwa katika mashauriano. Vyama hivyo vya wanafunzi vinadai kuwa mfumo huo utawafungia nje wanafunzi wanaostahili kupata ufadhili wa serikali na kuitaka wizara ya elimu kusitisha mfumo huo. Hayo yalijiri, waziri wa elimu akikanusha taarifa za kucheleweshwa kwa fedha za kufadhili masomo vyuoni huku vyuo vikuu vikiendelea kusajili wanafunzi wa mwaka wa kwanza.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channe: l: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wanafunzi wapinga mfumo mpya wa kufadhili masomo vyuoni.
- 12 May 2025 - Speaking during a meeting with over 5,000 elders from Embu, an event co-hosted by the two leaders, Kindiki rebuked the newly appointed CS for calling on the government to tarmac roads in the region.
- 12 May 2025 - Speaking during a Sunday church service in Juja, Kiambu County, Gachagua struck a defiant and optimistic tone, rallying Kenya’s youth—particularly Generation Z—to take an active role in the country’s democratic process.
- 12 May 2025 - Digital recruitment of police will eliminate corruption IG Kanja
- 12 May 2025 - Endometriosis: The silent women's crisis
- 12 May 2025 - Ruto's IEBC nominees face tough approval ahead of House vetting
- 12 May 2025 - More than just mood swings: How to spot and fix hormonal imbalance
- 12 May 2025 - Malaysia to move palm oil business head office to Nairobi
- 12 May 2025 - State silent after Kenyan pilot killed, plane wrecked in Sudan's RSF mission
- 12 May 2025 - Religion meets science as faith endorse cervical cancer jab
- 12 May 2025 - Champions Equity Hawks, Sparks and Swords win