- 9 views
Washukiwa 12 wanaotuhumiwa kwa wizi katika chama cha ushirika cha Njiwa cha shirika la huduma ya kitaifa ya ujasusi watazuiliwa kwa siku 21 katika gereza la wanawake la Lang’ata na lile la Kiambu. Akitoa uamuzi huo katika mahakama ya Kahawa hakimu mkuu mwandamizi Boaz Ombewa alipuuzilia mbali ombi la wakili wa upinzani la kutaka afisi ya mashtaka ya umma kupunguza mashtaka yanayowakabili washukiwa kutoka 223 hadi 12. Katika uamuzi wake, Ombewa alisema ombi hilo halingeruhusiwa na mahakama na kwamba kila mshukiwa atakiri au kukanusha mashtaka kibinafsi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channe: l: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Boaz Ombewa apuuzilia mbali ombi la wakili kutaka afisi ya mashtaka ya umma kupunguza mashtaka
- 12 May 2025 - Speaking during a meeting with over 5,000 elders from Embu, an event co-hosted by the two leaders, Kindiki rebuked the newly appointed CS for calling on the government to tarmac roads in the region.
- 12 May 2025 - Speaking during a Sunday church service in Juja, Kiambu County, Gachagua struck a defiant and optimistic tone, rallying Kenya’s youth—particularly Generation Z—to take an active role in the country’s democratic process.
- 12 May 2025 - Religion meets science as faith endorse cervical cancer jab
- 12 May 2025 - Champions Equity Hawks, Sparks and Swords win
- 12 May 2025 - Ibua wins in Mombasa as Musomba shines in Machakos
- 12 May 2025 - Senate probes dubious referrals, expired drugs in public hospitals
- 12 May 2025 - Digital recruitment of police will eliminate corruption IG Kanja
- 12 May 2025 - Endometriosis: The silent women's crisis
- 12 May 2025 - Ruto's IEBC nominees face tough approval ahead of House vetting
- 12 May 2025 - More than just mood swings: How to spot and fix hormonal imbalance