- 110 views
Komeni kuingiza siasa katika vita dhidi ya ufisadi. Huo ndio ulikuwa wito wa tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini ‘EACC’ hii leo ,wakati wa uzinduzi wa mpango wake wa kimkakati wa miaka mitano utakaoiongoza katika utekelezaji wa majukumu yake. Waziri mwenye mamlaka makuu Musalia Mudavadi akitumia fursa hiyo kupendekeza kuondolewa kwa miswada miwili, iliyowasilishwa kwenye bunge la kitaifa na ambayo inalenga kuondolewa kwa vipengee vinavyowapiga marufuku kuwania nyadhifa za uongozi maafisa waliohukumiwa kutokana na ufisadi au uhalifu wa kiuchumi. Giverson Maina na taarifa kamili.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channe: l: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
EACC; Komeni kuingiza siasa katika vita dhidi ya ufisadi.
- 12 May 2025 - Speaking during a meeting with over 5,000 elders from Embu, an event co-hosted by the two leaders, Kindiki rebuked the newly appointed CS for calling on the government to tarmac roads in the region.
- 12 May 2025 - Speaking during a Sunday church service in Juja, Kiambu County, Gachagua struck a defiant and optimistic tone, rallying Kenya’s youth—particularly Generation Z—to take an active role in the country’s democratic process.
- 12 May 2025 - Malaysia to move palm oil business head office to Nairobi
- 12 May 2025 - State silent after Kenyan pilot killed, plane wrecked in Sudan's RSF mission
- 12 May 2025 - Religion meets science as faith endorse cervical cancer jab
- 12 May 2025 - Champions Equity Hawks, Sparks and Swords win
- 12 May 2025 - Senate probes dubious referrals, expired drugs in public hospitals
- 12 May 2025 - Ibua wins in Mombasa as Musomba shines in Machakos
- 12 May 2025 - Digital recruitment of police will eliminate corruption IG Kanja
- 12 May 2025 - Endometriosis: The silent women's crisis