- 49 views
Viongozi wa kanisa katoliki nchini wamepinga kufanyika kwa marekebisho ya katiba kupitia kura ya maoni baada ya mazungumzo ya Bomas kukamilika ili kusiwe na hali ya atiati nchini. Nalo baraza la makanisa nchini , NCCK, limetaka muda wa kuiangalia upya mipaka ya maeneo bunge uongezwe miaka miwili zaidi ili kuipatia tume huru ya uchaguzi na mipaka , IEBC, muda wa kutosha kufanya shughuli hiyo kwa makini na kuzuia migogoro. Nayo tume ya maadili na kupambana na ufisadi , EACC imetaka wale wote wanaoandamwa na ufisadi wazuiliwe kuwania nafasi zozote wakati wa uchaguzi
Kanisa katoliki lapinga marekebisho ya katiba kupitia kura ya maamuzi
- 12 Jul 2025 - Democracy for the Citizens Party (DCP) party leader Rigathi Gachagua has said that the opposition is finalizing evidence against President William Ruto for submission to the International Criminal Court.
- 12 Jul 2025 - The Cabinet Secretary for Public Service, Human Capital Development, and Special Programmes, Geoffrey Ruku, has called on the Kenya Red Cross Society to pursue accreditation from the Green Climate Fund (GCF) to strengthen its role in building climate-…
- 12 Jul 2025 - The Kenya National Highways Authority (KeNHA) has announced a temporary traffic disruption on Mombasa Road near Syokimau Railway Station to allow for the installation of the fabricated footbridge beams of the Syokimau Railway Footbridge.
- 12 Jul 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has dismissed Orange Democratic Movement (ODM) leader Raila Odinga's proposal for a national dialogue to solve the country's challenges, arguing that the ODM leader has engaged in such talks in the past without…
- 12 Jul 2025 - The motorists termed Ndung'u and Kandie's resignations as 'deeply concerning' and 'sudden'.
- 12 Jul 2025 - Clinicians in Machakos County have officially called off a planned strike just two hours before its scheduled commencement, which was to start at midnight on Saturday.
- 12 Jul 2025 - Police Constable Hiram Kimathi has claimed his life is in danger following a KTN interview, saying he fears abduction rather than lawful arrest.
- 12 Jul 2025 - Nyachae had previously been shortlisted to become the new chair of the IEBC.
- 12 Jul 2025 - Iranian authorities carried out on Saturday a public execution of a man convicted of raping and murdering a young girl, the judiciary said.
- 12 Jul 2025 - President William Ruto has announced that the government has dedicated Ksh400 billion to stabilise milk prices in the country. In his speech read by Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi during the 103rd Ushirika Day Celebrations at the Kenyatta…