Anaemia: Janga ‘liliofichwa’ kwa wanawake India
Mehnrunnisa Salman Khan alipoteza mapacha kutokana na upungufu wa seli nyekundu za damu unaojulikana kama anemia.
India imekuwa na kampeni ya miaka 50 ya kutokomeza ugonjwa huo lakini zaidi ya nusu ya wanawake bado wanaugua.
Anemia ni hali ya kupungua kwa idadi ya chembe nyekundu za damu zenye afya (RBCs) au kiwango kilichopungua cha himoglobini (Hb) na kushindwa kubeba oksijeni ya kutosha mwilini.
#bbcswahili #afya #anaemia
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
18 Aug 2025
- Hundreds of students have decried the uncertainty surrounding their university school fees.
18 Aug 2025
- The project is expected to take 24 months.
18 Aug 2025
- Nairobi is among the regions flagged to experience moderate to heavy rainfall by the weatherman.
19 Aug 2025
- Vehicles used to smuggle goods to be handed to the State, says judge
19 Aug 2025
- Justice on sale: How racketeers at Busia courts are exploiting suspects, widows
19 Aug 2025
- DPP challenges the acquittal of terror suspects in explosives case
19 Aug 2025
- Parliamentary group meeting turned stormy due to leaders' sustained accusations of bribery against the National Assembly.
19 Aug 2025
- Group C- Painful exit awaits either Uganda, Algeria, or South Africa
19 Aug 2025
- What was presented to rice farmers as a solution to weeds has now become a nightmare.
19 Aug 2025
- It is important for Kenyans who intend to apply for a U.S. visa to be aware of recent
19 Aug 2025
- Auditor cites inaccurate record keeping, unsupported expenditures as among the challenges.
19 Aug 2025
- He’s reportedly determined to uncover who sidelined him and why, given his influential position.
19 Aug 2025
- Land has a vital role in sustaining human communities, nurturing diverse ecosystems, and regulating the climate of our planet.