Skip to main content
Skip to main content

Vyuo vya TVET vyapanda miti katika msitu wa Kaberwa

  • | Citizen TV
    124 views
    Duration: 1:41
    Vyuo saba vya mafunzo ya kiufundi katika kaunti ya Bungoma kwa ushirikiano na idara ya misitu vimeongoza shughuli za upanzi wa miti katika msitu wa kaberwa eneo bunge la Mlima Elgon ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.