Skip to main content
Skip to main content

Watu wawili wafariki na wengine saba kujeruhiwa katika ajali barabarani Migori

  • | Citizen TV
    745 views
    Duration: 1:37
    Watu 2 wamepoteza maisha yao huku Wengi 7 wakijeruhiwa kwenye ajali ya barabarani iliyohusisha gari aina ya probox na Lori katika daraja la Nyametembe kaunti ndogo ya kuria Mashariki