Skip to main content
Skip to main content

Wahudumu wa afya katika kaunti ya Nairobi wameanza mgomo wao rasmi leo

  • | Citizen TV
    100 views
    Duration: 1:20
    Wahudumu wa afya katika kaunti ya nairobi wameanza mgomo wao rasmi leo wakilalamikia mishahara ya mwezi wa agosti ambayo haijalipwa pamoja na kutowasilishwa kwa makato ya miezi mitatu iliyopita.