Wapiga picha wa BBC washindwa kuendelea kupiga pich baada ya kuona jamaa zao Gaza
Wapiga picha wa BBC huko Gaza wamejikuta wakilazimika kuacha kupiga picha baada ya kupata mshtuko wa kuona marafiki na jamaa zao wameuawa na wengine kujeruhiwa katika shambulizi la anga la Israel.
Mwandishi wa BBC Adnan Elbursh na mpiga picha Mahmoud Al Ajrami walikuwa wakichukua picha za manusura katika Hospitali ya Al-Shifa wakati majirani zao walipoanza kuletwa miongoni mwa waliojeruhiwa.
Mamia ya miili imejaa hospitalini hapo kufuatia mashambulizi ya anga kujibu shambulio la Jumamosi la Hamas ambalo liliua takriban watu 1,300 nchini Israel.
-
-
#bbcswahili #israel #gaza #hamas #Palestine
18 Aug 2025
- Hundreds of students have decried the uncertainty surrounding their university school fees.
18 Aug 2025
- The project is expected to take 24 months.
18 Aug 2025
- Nairobi is among the regions flagged to experience moderate to heavy rainfall by the weatherman.
19 Aug 2025
- Vehicles used to smuggle goods to be handed to the State, says judge
19 Aug 2025
- Justice on sale: How racketeers at Busia courts are exploiting suspects, widows
19 Aug 2025
- DPP challenges the acquittal of terror suspects in explosives case
19 Aug 2025
- Parliamentary group meeting turned stormy due to leaders' sustained accusations of bribery against the National Assembly.
19 Aug 2025
- Group C- Painful exit awaits either Uganda, Algeria, or South Africa
19 Aug 2025
- What was presented to rice farmers as a solution to weeds has now become a nightmare.
19 Aug 2025
- It is important for Kenyans who intend to apply for a U.S. visa to be aware of recent
19 Aug 2025
- Auditor cites inaccurate record keeping, unsupported expenditures as among the challenges.
19 Aug 2025
- He’s reportedly determined to uncover who sidelined him and why, given his influential position.
19 Aug 2025
- Land has a vital role in sustaining human communities, nurturing diverse ecosystems, and regulating the climate of our planet.