- 388 viewsMahandaki ya Hamas huko Gaza ndio lengo kuu la Israel wakati ikipanua mashambulizi yake ya ardhini kuingia eneo lenye msongamano wa watu katika kulipiza kisasi shambulizi la kushtukiza lililosababisha mauaji lililofanywa na kikundi cha Kiislam ndani huko kusini mwa Israel Oktoba 7. Mkuu wa zamani wa Ofisi ya Habari Jerusalem Stephen Farrell anaeleza: Gaza ni kituo cha Hamas, na kuna mtandao mkubwa wa mahandaki huko. Gaza na ni kituo cha siri cha nguvu za kijeshi katika eneo hilo. Hilo ndio eneo la Hamas kukimbilia kujificha, kuwaficha mateka, na kurusha roketi, kuhifadhi silaha, na ndio sababu mtandao huo ni muhimu sana kwa Israel. Hatua ya kwanza, imeharibu eneo la juu ya ardhi lililokuwa linaficha mahandaki hayo ili wapiganaji wa Hamas wasiwe na mahali pa kukimbilia. Hivi sasa, majeshi ya Israeli yanaingia chini ya ardhi ili kuweza kuwaokoa mateka, kuwaua au kuwakamata wapiganaji wa Hamas na kuwazuia au kuwasitisha wasiweze kamwe kufanya kitendo hiki tena. Nimekuwa katika baadhi ya haya mahandaki huko Gaza. Yale madogo ya kibiashara ni kiasi cha futi tatu hadi nne kwa upana. Mahandaki ya kijeshi ni yenye mfumo imara zaidi, yamejengwa kwa zege, na kina chake kikubwa. Itakuwa vigumu sana, sana, sana kabisa kwa Israel kuwatokomeza wapiganaji wa Hamas kutoka katika mtandao huo. #gaza #israel #palestine #reels #igreels #videography #voa #voaafrica #dagestan #russia
'Gaza na ni kituo cha siri cha nguvu za wapiganaji wa Hamas katika eneo hilo'
- 18 May 2024 - Drama unfolded on Friday in Thika, Kiambu County after supporters of Thika MP Alice Ng'ang'a and Kamenu ward MCA Peter Mburu clashed violently over the construction of the Kiganjo market.
- 17 May 2024 - The body of Lawi Kiptoo, a student at Kirinyaga University, who drowned in the flooding Thiba River, has been found.
- 17 May 2024 - Defence Cabinet Secretary Aden Duale and his Interior counterpart Prof Kithure Kindiki have called on members of the disciplined forces to work together and interact harmoniously as comrades, saying they share a common objective of ensuring the…
- 17 May 2024 - Eng. Joseph Mungai Kamau has been appointed as the Chief Executive Officer (CEO) of the Athi Water Works Development Agency (AWWDA).
- » Gun, grenades, sniper ghillie suit seized as fake 'KDF commando' evading alcoblow arrested in Nairobi17 May 2024 - Police in Nairobi have arrested three people in connection to the possession of deadly weapons including military equipment.
- 17 May 2024 - The Thirdway Alliance Kenya led by Dr Ekuru Aukot has filed a new lawsuit seeking to prevent the government from sending police to violence-plagued Haiti as part of a UN-backed mission.
- 17 May 2024 - Pastor Dorcas Rigathi on Friday brought together the county government and clergy in efforts to empower the youth through football, and keep off alcohol, drugs, and substance abuse at the AIC Rumuruti Grounds in Laikipia County. The spouse of the Deputy…
- 17 May 2024 - A section of leaders drawn from the Mt Kenya region have announced the formation of the HAKI coalition which they say will push for the region's interests and unity under the guidance of former President Uhuru Kenyatta insisting that he remains the…
- 17 May 2024 - Taxes and more firefighting will not grow Kenya
- 17 May 2024 - At this rate, Raila's ODM will expel everyone