- 56 views“Nilipokuwa natoa hotuba yangu katika Bunge la Israel (Knesset) nilikuwa nasema watoto huko kusini mwa nchi hii na huko Gaza wanastahili kuishi na wakaanza kelele hizo na mimi, unaweza kuona kuwa nilipatwa na aina fulani ya mshtuko kwa muda mfupi. Ukweli, sikuweza kufikiria kuwa kuna mtu ataniambia kuwa hakuna usawa baina ya watoto hawa, na watoto hawako sawa. Hilo sawa. Iwapo unazungumzia kuhusu watu wazima, simaanishi kuwa hilo linakubalika, lakini tunaweza kubishana. Lakini watoto? Watoto wasio na hatia? Na kuna mtu anahoji haki za watoto kuishi? Halafu limekuja jambo baya sana, kwa maoni yangu , ni hukumu ambayo kwa jumla imenishtua sana kwamba watoto wa Gaza wamejisababishia wato wenye, ikimaanisha kupigwa mabomu na kuuwawa. Hakuna maelezo. Ninaweza kulia kwa ajili ya Myahudi, Mhindu au mtoto mwengine ambaye ameuawa kama nitakavyo mlilia mtoto wa Kipalestina, ambaye ameuawa. #israel #gaza #iran #reels #igreels #voa #voaafrica #knesset #hadash
Mahojiano na Mbunge wa Bunge la Israel Aida Touma-Suleiman
- 5 Jul 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has launched scathing accusations against President William Ruto, claiming the Head of State is systematically persecuting the Mt. Kenya community.
- 5 Jul 2025 - Royal Media Services was on Friday night recognized as one of the top community promoters of road safety in Kenya.
- 5 Jul 2025 - Muslim religious leaders in Mombasa are now urging President William Ruto to build a mosque within the State House, following his recent admission that a church has been constructed on the grounds.
- 5 Jul 2025 - The Commission says use of force in court premises undermines the rule of law.
- 5 Jul 2025 - The closure is set to affect major transport activities in the heart of Kenya's capital.
- 5 Jul 2025 - Popular local dance continues to take pastoral border areas in Kenya and Uganda by storm.
- 5 Jul 2025 - Nairobi County has launched 11 locally-developed projects aimed at addressing major shortcomings in the city’s cancer care system.
- 5 Jul 2025 - The incident happened on Friday evening, causing tension.
- 5 Jul 2025 - Dado will lead the Public Service Superannuation Fund Board for three years, effective from July 4, 2025.
- 5 Jul 2025 - Ruto has appointed John Munyu as the Non-Executive Chairperson of the Pharmacy and Poisons Board.